Thursday, 1 November 2018

AMRI KUMI ZA USHAIRI

AMRI KUMI ZA USHAIRI
  1. Ushairi ndiye mungu wako katika shida na katika raha, hakuna mbadala.
  2. Usitunge shairi bure; pasina haja yoyote wala tija.
  3. Shika utakatifu wa ushairi (tunga tungo zenye heshima na taadhima).
  4. Heshimu milango yako ya fahamu upate kutunga tungo zenye mvuto na zilizotukuka siku zote za utunzi wako.
  5. Usiue (heshimu uhai, uumbaji pamoja na tunu za utu katika mashairi yako).
  6. Usidhalilishe utukufu wa Mungu (usitunge tungo zisizo na staha dhidi ya viumbe vya Mungu).
  7. Usiibe (usichukue ubunifu wa mtu mwingine).
  8. Usidanganye (usitunge mashairi yenye maudhui yanayopotosha jamii).
  9. Usitamani sifa zisizokuwa zako (tungo zako ndizo zitakazotangaza sifa zako).
  10. Usitamani shairi la mtu mwingine bali tamani kuwa malenga bora.


© Eric F. Ndumbaro
Mwenge Catholic University (MWECAU)

1 comment:

  1. Ushuhuda Wangu wa Kutoka Moyoni 💖

    Baada ya baba yangu mdogo kuniacha kwa miezi saba mirefu, nilikuwa nimevunjika moyo kabisa. Alinizuia kwenye mitandao yote ya kijamii, akaondoka, na hakukuwa na njia ya kumfikia. Karibu nikate tamaa, lakini ndani kabisa nilijua singeweza kupata mtu yeyote ambaye angenipenda na kunitendea jinsi alivyonitendea.

    Siku moja, bosi wangu kazini aligundua jinsi nilivyokuwa na huzuni na akanitambulisha kwa Dkt. Dawn. Dkt. Dawn alisikiliza hadithi yangu na akaahidi kwamba mpenzi wangu angerudi kwangu ndani ya siku tatu. Kwa kweli, sikuamini mwanzoni—lakini kwa mshangao wangu mkubwa, siku ya tatu simu yangu iliita. Ilikuwa yeye! Alikuwa akilia na kuomba msamaha, akisema hataniacha tena.

    Tangu siku hiyo, uhusiano wetu umekuwa na nguvu na uzuri zaidi kuliko hapo awali. Amekuwa akipenda na kunijali mimi na mtoto wetu, na sasa tunafunga ndoa katika miezi miwili tu! ❤️

    Shukrani zote kwa Dkt. Dawn, ambaye kwa kweli alifanya jambo lisilowezekana liwezekane. Ninampendekeza kwa moyo wote kwa yeyote anayekabiliwa na changamoto katika:

    Masuala ya uhusiano au ndoa

    Ugonjwa au magonjwa

    Matatizo ya utasa au bahati nasibu

    Kesi za mahakamani au urejeshaji wa mali

    Dkt. Dawn kweli hutatua matatizo kwa ufanisi na hurudisha furaha katika maisha ya watu.

    Wasiliana na Dr. Dawn kwenye WhatsApp: +2349046229159
    Barua pepe: dawnacuna314@gmail.com

    ReplyDelete